Siku 4 baada ya UONGOZI wa klabu Yanga kumtambulisha Dismas Ten kuwa mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano akichukua nafasi iliyoachwa na Jerry Muro aliyekuwa amefungiwa na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) mwaka jana.
Kwa mara ya kwanza Jerry Muro amefunguka kuhusu suala hilo.