Jaji mwingine wa mahakama kuu ajiuzulu | maendeleo media
BREAKING NEWS
Loading...

Tuesday 20 June 2017

Jaji mwingine wa mahakama kuu ajiuzulu



Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Mhe. Mwendwa Judith Malecela amejiuzulu wadhifa wake huo kuanzia leo baada ya Rais Magufuli kukubaliana na ombi la jaji huyo aliyetaka kujiuzulu wadhifa wake.


Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu leo imedai kuwa Rais Magufuli amekubaliana na ombi la Jaji huyo hivyo kuanzia leo tarehe 20 Juni, 2017 Judith Malecela hatakuwa tena Jaji wa Mahakama Kuu. 


google+

linkedin